1 Kings 7:38

38Kisha akatengeneza masinia kumi ya shaba, kila moja likiwa na ujazo wa bathi arobaini,
Bathi 40 ni sawa na lita 800.
yakiwa na kipenyo cha dhiraa nne
Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
kila sinia moja kwa kila kimoja ya vile vitako kumi.
Copyright information for SwhKC